Tuesday, June 21, 2011
DADA ZANGU WA KIBONGO ANGALIENI!
WAREMBO WETU HAWA HAPA, AZI KWENU SASA!
WANAOTUWAKILISHA SHIDA ZETU WANAPOKUWA MAKINI KUTETEA MASILAHI YETU!

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, akitafakari wakati wabunge wakichangia hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012, Bungeni mjini Dodoma jana. Kutokana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutohudhuria kikao cha Bunge juzi na jana asubuhi, Waziri Wasira ndio alikuwa akikaimu nafasi ya kiongozi wa shughuri za Serikali Bungeni.



HUYU NDIYE SHEMEJI YENU
ANGALIA HAWA NAO!
KWELI KILA MTU NA KIWANJA CHAKE! HEBU ANGALIA WANAUME WANVYOSHESHA!
MAMBO YA DODOMA
AJALI HII IMETOKEA JANA MAENEO YA SUKITA, KARIBU NA TABATA MATUMBI
AKINAMAMA WANAWEZA
Subscribe to:
Posts (Atom)