Tuesday, November 1, 2011

Unafiki bado unaendelea, kuendelezwa huko Libya

Waziri Mkuu mpya wa Serikali ya Mpito nchini Libya, Abdel Rahim al-Kib (Kushoto) akipongezwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Mpito (NTC), Mahmoud Jabril ambaye aliahidi kujiuzulu pale nchi hiyo itakapokuwa imekombolewa kutoka katika utawala wa Muammar Gaddafi.

Mambo ya Watanzania hayoooo! Toka kwa Shivooo!

Miss Vodacom Tanzania 2011, Salha Israel (kushoto) akiwa katika vazi la ufukweni na wenzake katika maonesho ya mavazi hayo, nchini China juzi.