Hii ilikuwa katika pitapita zangu Tandaleeeee, nikawakuta watoto wa huko na Mzungu. Watoto wamepewa kamera wampige picha, mazingaombwe ndio yakaanzia hapo, hebu angalia mwenyewe
Tena wao wala Mzungu wao hakujua kama nami nilikuwa nikiwafuatilia na tena nawapiga picha



