Monday, August 15, 2011

Angalia watoto wa kwetu walipopewa rungu

Hii ilikuwa katika pitapita zangu Tandaleeeee, nikawakuta watoto wa huko na Mzungu. Watoto wamepewa kamera wampige picha, mazingaombwe ndio yakaanzia hapo, hebu angalia mwenyewe


Tena wao wala Mzungu wao hakujua kama nami nilikuwa nikiwafuatilia na tena nawapiga picha


Kamera yetu mtaani, angalia mchezo huu


Hizi ni pande za Tandale jijini Dar es Salaam, hawa watoto walijiokotea kipeperushi na wakaanza kujisomea bila ya kujua kuwa nasi tunawafuatilia


mara mmoja wao akashtukia.../ Aaah anatupiga picha huyuu


Baada ya hapo nao wakaanza kusoma kwa pozi wakijua kuwa wanafuatiliwa, wanapigwa picha





Jamani hata hii ni ajira kwa watoto!! Angalia hawa!





Angalia mambo hayaaaaa!

Hapa nahisi walikuwa kama wanacheza Prakatatumba??!!

Jamani hii shule ipo hukooooo Kenya
Hata hii nayo, hukohuko kwa Kibaki

Angalia vipaji mtaani kwetu!


Angalia mtu kapewa kubwa huku akimiliki mpira, watoto wabaya hawa!
Nikagundua kuwa kuna akina Drogba wa Chelsea na Valencia wa Manchester Utd
Ona Valencia anavyonyanyasa wenzake!

Sekeseke golini