Saturday, October 29, 2011

Watani wa jadi, mmh..Iwe bhojoo!! YANGA HUREEEEEE!!

Mapemaaa.. Tukajua huyu Simba wetu tu!!
Tukamkamata, tukamlegeza kwanza kabla ya kumchinja!


Kaka sisi kama watani zangu Wamakonde, 'hata Chimba tunakulaga chichi'