Tuesday, January 24, 2012

Women In Balance-kitchen party Gala

Mratibu wa wa Wanawake Mezani (Women In Balance-kitchen party Gala), Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana , kuhusu msimu wa pili wa mkusanyiko wa wanawake waliolenga kutoa mafunzo kwa wanawake wenzao katika Nyanja mbalimbali za kijamii utakaofanyika Jumamosi Mikocheni jijini Dare s Salaam. Kulia ni Mratibu, Vida Mdolwa.



Kwaheri mdogo wetu Beatus Kagashe


Viongozi wa MCL, ndugu na jamaa wakiliingiza jeneza lenye mwili wa marehemu Beatus kanisani tayari kwa maombi na sala ya kumwaga


Marehemu Beatus Kagashe



Kumwelezea marehemu
Mama wa marehemu akimwelezea mwanaye

Mhariri Mtendaji wa mwananchi Communication

Mke wa marehemu (kulia)





Ni kweli huu ndio mpira wa Bongo??!!


Niliuona huu mchoro uliyochorwa na kaka yangu Sammy kwenye gazeti la Citizen, ulinifurahisha sana. lakini ndio hali halisi, Tanzania hatuna timu, kazi yetu kuchezesha mpira kwa midomo yetu na magazetini.