Monday, July 18, 2011

Hawa ndio wadau wangu




Hapa ni Aliamini Adam aka Mzee wa Mombasa, Shilwa Mboma aka Bakhresa na Mkolo Kimenya- huyu ndiye aliyepiga picha kasoro hii tu!


Hawa niliyokuwa nao ni wadau na wafanyakazi wenzagu, hawa ndiyo wanasababisha unasoma gazeti linaloongoza na kuaminiwa Tanzania- Mwananchi na lilie gazeti bora la Michezo Afrika Mashariki- Mwanaspoti. Kushoto ni Elizabeth Mushi aka Asha Ngedere na Shilwa Mboma aka Bakhresa.


Hapa ndio desk zima, wote hawa kwa umoja ndio timu ya madesigner wa Mwananchi na Mwanaspoti


I mean woooteee!