Tuesday, January 3, 2012

Baba kapata mama, mama kapata baba

Picha linaanza, hapa ndio mzee ninamalizia utaratibu wa kuchukua jiko
Baada ya ndoa tukapiga picha


Siku ya pili mke wangu akaenda Salon kupambwa tayari kwa Reception, alipambwa na wale wajuaji wa mjini, Twaiba Classic salon




Mambo ya Twaiba hayo, si kupamba tu...hayta pamba unapata hapa

Hii ni copy ya kipeperushi nilichowatengenezea

Baadaye tukaingia Ukumbini, Banora pale jirani na Mlimani City
Tuliwakaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Vyengine tulipata maelekezo toka kwa waliotutanguli, huyu ni dada yangu jamani
Tukajichana, weweee!! We acha tu!!
Pia tukapewa vilivyo vyetu, walivyotuandalia kututunza



Tulijazwa na mijihela vilevile
Mama yangu (kushoto) na mama mkwe wangu
Baba yangu (kushoto) na baba mkwe wangu
Baba mkwe akimchum mwanaye

Hii ndiyo familia yetu
Pongezi kibaoooo
Mmeionaaaa!!



Baba na mama mkwe


Tukajimwaga mpaka mwishoooooooooo!!!