Picha linaanza, hapa ndio mzee ninamalizia utaratibu wa kuchukua jiko


Baada ya ndoa tukapiga picha





Mambo ya Twaiba hayo, si kupamba tu...hayta pamba unapata hapa


Hii ni copy ya kipeperushi nilichowatengenezea


Baadaye tukaingia Ukumbini, Banora pale jirani na Mlimani City

Tuliwakaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Tukajichana, weweee!! We acha tu!!

Pia tukapewa vilivyo vyetu, walivyotuandalia kututunza
Tulijazwa na mijihela vilevile



Baba mkwe akimchum mwanaye




