Tuesday, December 6, 2011

Ajali mbaya Tabata Relini

Wasamaria wema wakijaribu kuwanasua abiria waliokuwa kwenye daladala aina ya Hiace, linalofanya safari kati ya Tabata Hai na Majumba Sita Ukonga, ambapo liliacha barabara na kugonga kituo cha Daladala cha Tabata Relini na kusababisha kifo cha mtu mmoja jijini Dar es Salaam leo.