Thursday, February 2, 2012

Harakati zinaendelea Mashariki ya Kati

Wananchi wa Palestina wakiwa na mabango yao huku wakiandamana baada ya kusikia katibu mkuu wa Un ameshafika nchini humo huku wakiwa wameshikilia mabango yaliyoandikwa “Ban Ki Moon upendeleo basi kwa Israel”.