Sunday, July 1, 2012

Hivi mnapata wapi leseni?!..

Dereva wa lori akivunja sheria za usalama barabarani kwa kugeuza gari katika Barabara ya Mandera eneo la TOT jijini Dar es Salaam jana huku kukiwa na alama inayokataza tendo hilo. Kutoheshimu seria za usalama barabarani ni mojawapo cha vyanzo vya ajali nchini. Picha na Jube Tranquilino