Wednesday, July 20, 2011

Hii ni sehemu mojawapo muhimu ya jiji la Dar! Hebu angalia....

Mtaro ukiwa umefurika maji taka katika barabara ya Shaurimoyo eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam,ambapo ni hatari kwa magonjwa ya mlipuko pia wafanyabiashara wa eneo hilo wameendelea na shughuli zao bila kujali athali za kiafya zinazoweza kutokea.Picha na Michael Jamson